Jipange Kusikia Pombe yangu RMX kutoka kwa Madee na P-Unit


Baada ya kufanya vizuri na kuwa Gumzo kila kona ya Bongo yaani Wimbo wataifa "Pombe yangu" kutoka kwa Rais wa Manzese Madee, Sasa tarajia RMX ya ngoma hii hivi katibuni na wababe wengine wa muziki kutoka Kenya P-Unit. 
 Mzigo umefanyika kwa Marco Chali kama kwa na Wiki ijayo Madee ataenda Kenya kwa ajili ya Video na Kisha mzigo unaachiwa
Usikose kutembelea Hapa. ili uwe wa kwanza kusikiliza na Kudownload

0 comments:

Copyright © 2014 TipTop Connection and Blogger Templates - John Sambila.