Jinsi Tapeli alivyotaka Kumtapeli Madee

Akili Mjini Nguvu Shamba...Tapali ayakanyaga kwa Mtoto wa Manzese Madee Jamaa huyu alitaka kumtapeli Madee kwa Kusema Ati Geez Mabovu anaumwa Figo na Yeye ndo Mkusanyaji wa Mchango kwa Ajili ya Matibabu ya Ugonjwa Huo...
Alikua akipiga simu nyingi tu kwa Madee na kusisitiza Kuwa amtumie pesa hiyo kwa Ajili ya Mchango, Madee akafanya kumvuta Maskani ya Tiptop aje kuchukua pesa hiyo na Baada ya kufika Ndipo akahojiwa Maswali na kugundulika kuwa ni Tapeli na sio ndugu wala Jamaa wa Geez Mabovu.

0 comments:

Copyright © 2014 TipTop Connection and Blogger Templates - John Sambila.