Vijana wenye Maskani yao TMK ambao walifanya poa sana wimbo wao wa Yamoto na kupata jina la Yamoto Band, Aslay, Becka, Bella na Maromboso kutoka Mkubwa na wanawe wameachia wimbo wao wapili ambao unaitwa NITAJUTA.
Wimbo umefanyika katika studio zao chini ya Producer Shirko, Tumia dakika zako 4 kuusikiliza na kama umeuelewa unaweza kuacha Comment yako hapo chini.
Showing posts with label Yamoto BAND. Show all posts
Yamoto Band kutoka Mkubwa na wanawe, Wameachia Wimbo wao wa pili ambao unaitwa NITAJUTA, Wimbo huu umetengenezwa katika Studio zao chini ya Producer Shirko.
Yamoto Band inaundwa na Vijana wanne wenye sauti za hatari na Uwezo wa kuimba, Becka, Enock Bella, Maromboso pamoja na Aslay ambe ni kiongozi wa kundi.
Subscribe to:
Posts (Atom)
.jpg)
